SIKU YA NANENANE

31 Jul, 2023 09:00AM - 06:00PM MBEYA
SIKU YA  NANENANE

Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu Tanzania (MPRU) itaadhimisha maonesho ya Siku ya Nanenane katika Mkoa wa Mbeya. Maadhimisho haya hufanyika kitaifa ifikapo tarehe 08/08 kila mwaka.